← Return to all songs

Malaika

Malaika by Adam Salim

Verse 1
Malaika, nakupenda Malaika (x2)
Nami nifanyeje, kijana mwenzio
Nashindwa na mali sina, we
Ningekuoa Malaika
Nashindwa na mali sina, we
Ningekuoa Malaika

Verse 2
Pesa zasumbua roho yangu (x2)
Ningekuoa dada, Ningekuoa mama
Nashindwa…………

Verse 3
Kidege, nakuwaza kidege (x2)
Ningekuoa dada, Ningekuoa mama
Nashindwa…………

Scroll to Top