Malaika by Adam Salim
Verse 1
Malaika, nakupenda Malaika (x2)
Nami nifanyeje, kijana mwenzio
Nashindwa na mali sina, we
Ningekuoa Malaika
Nashindwa na mali sina, we
Ningekuoa Malaika
Verse 2
Pesa zasumbua roho yangu (x2)
Ningekuoa dada, Ningekuoa mama
Nashindwa…………
Verse 3
Kidege, nakuwaza kidege (x2)
Ningekuoa dada, Ningekuoa mama
Nashindwa…………
